Watanzania kwa ujumla tunatakiwa tuingilie kati kuhusu hili swala la ELIMU .kwa njia yoyote ile ili kwamba TUIKOMBOE ELIMU yetu.LA sivyo serikali peke yao haiwezi kushughulika na hili swala.Na swala la kubadili mitahala na mfumo wa kuyapanga matokeo,sidhani kama njia sahihi kwa sababu mambo yanayofundshwa huwa hayabadiliki ila kikubwa kuwa makini na hawa wanafunzi..
ZOEZI LA UTOAJI CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO LAANZA RASMI MKOANI MANYARA
-
-Mifugo 400 yachanjwa na kutambuliwa Mkoani Manyara.
-Wafugaji wamshukuru Dkt. Samia kwa Ruzuku ya Chanjo za Mifugo.
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na U...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment