Saturday, August 29, 2015

CHEKI HII VIDEO JINSI WANAFUNZI WA SHULE ZA KATA WANAVYOPATA CHANGAMOTOO

                                                                      ///VIDEO HII CHINII/// ...

Friday, August 28, 2015

JIONEE VIDEO YA HALI MBAYA YA VYOO KATIKA SHULE ZA KATA

                                                       //VIDEO HII CHINI// ...

HEBU CHEKI VIDEO HII LAZIMA WANAFUNZI WATAFAURUUUUU TUH!

                                                                                             //VIDEO HII CHINI//      ...

TANGAZO KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU WOTE WANAO OMBA KUDAHILIWA UPYA (RE-APPLICATION FOR ADMISSION) 2015/16

                     //BOFYA HAPA KUONA TANGAZ...

MAJINA YA WANAOITWA KWENYE USAILI WA POLISI KWA WANAFUNZI WALIOHITIMU KIDATO CHA NNE 2014

                             ///BOFYA HAPA KUONA MAJINA...

Thursday, August 27, 2015

TOTAL TANZNAIA LIMITED NA SATF WATOA MSAADA WA MADAWATI 1000 KWA SHULE ZA TEMEKE

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Sadick Meck Sadick akimkabidhi madawati 1000 Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke. Madawati hayo ni msaada uliotolewa na kampuni ya mafuta ya TOTAL Tanzania Limited wakishirikiana na shirika la SATF(Social Action Trust Fund). Msaada huo uliratibiwa na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)  Wanafunzi wa shule ya msingi Chamazi wakishangilia msaada...

TRA yaendelea na Maadhimisho ya Wiki ya Mlipa Kodi Tanzania,Yatoa Msaada Hospitali ya Temeke na Kukabidhi Madawati 100 Shule ya Msingi Misitu,Kivule

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),leo Novemba 18,2014 walitembelea Hospitali ya Rufaa ya Temeke jijini Dar es Salaam,ambapo waliweza kutoa msaada wa vitu mbali mbali kwa watoto waliolazwa Hospitalini hapo pamoja na kukabidhi baadhi ya vifaa vya Usafi kwa Uongozi wa hospitali hiyo Mbali na kukabidhi vifaa hivyo,pia walijumuika pamoja na kujitolea kufanya...

BADO HALI INATISHA KWENYE ELIMU YA TAIFA LETU....HEBU JIONEE MAENDELEO YA ELIMU KWA UJUMLAAAAA...

Elimu ndo chanzo kikubwa sana cha maendeleo katika taifa letu.Kwa hiyo kama maendeleo ya elimu yataendelea kuwa mabayakatika taifa letu,hakika kupata maendeleo katika nchi yetu si rahisi.Tukitazama tathmini ya maendelo ya ELIMU ya taifa letu yanazidi kudidimia.Kuanzia mwaka 19961 baada ya uhuru,ELIMU ilikuwa inazdi kupanda miaka hadi miaka.Hadi kufikia mwaka2000,mabadiliko...

TANGAZO KUTOKA TCU KWA WALE WANAO TARAJIA KUINGIA VYUO VIKUU 2014/2015, WASIO CHAGULIWA FIRST ROUND

                                        ..TANGAZO HAPA..OF...

HII NDIO ORODHA YA WALE WALIOCHAGULIA KUJIUNGA NA VYUO MBALI MBALI NA VYUO HUSIKA

                                           ///BOFYA HAPA UPATE ORODH...

WARAKA WA ELIMU NA 3 WA MWAKA 2015 KUHUSU VIGEZO VYA UDAHILI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO

kama tulivyoyaona matokeo ya kidato ca nne ya mwaka jana yametolewa kwa muundo mwingnie yaan katika ''GPA fomat''.Hivyo basi wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi yametoa vigezo vya udahili kwa wanafunzi watao jiunga na kidato cha tano mwaka huu 2015 katika shule zote za kiserikali na zisizo za kiserikali.                     //////JONEE...