Watanzania kwa ujumla tunatakiwa tuingilie kati kuhusu hili swala la ELIMU .kwa njia yoyote ile ili kwamba TUIKOMBOE ELIMU yetu.LA sivyo serikali peke yao haiwezi kushughulika na hili swala.Na swala la kubadili mitahala na mfumo wa kuyapanga matokeo,sidhani kama njia sahihi kwa sababu mambo yanayofundshwa huwa hayabadiliki ila kikubwa kuwa makini na hawa wanafunzi..
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
10 hours ago







0 comments:
Post a Comment