Watanzania kwa ujumla tunatakiwa tuingilie kati kuhusu hili swala la ELIMU .kwa njia yoyote ile ili kwamba TUIKOMBOE ELIMU yetu.LA sivyo serikali peke yao haiwezi kushughulika na hili swala.Na swala la kubadili mitahala na mfumo wa kuyapanga matokeo,sidhani kama njia sahihi kwa sababu mambo yanayofundshwa huwa hayabadiliki ila kikubwa kuwa makini na hawa wanafunzi..
HIFADHI YA SERENGETI NA MLIMA KILIMANJARO ZASHINDA TUZO BARANI AFRIKA
-
Taasisi ya World Travel Awards imetangaza hifadhi mbili za Tanzania kuwa
washindi katika vipengele vya hifadhi na kivutio bora cha utalii barani
Afrika kwa...
10 hours ago
0 comments:
Post a Comment