Watanzania kwa ujumla tunatakiwa tuingilie kati kuhusu hili swala la ELIMU .kwa njia yoyote ile ili kwamba TUIKOMBOE ELIMU yetu.LA sivyo serikali peke yao haiwezi kushughulika na hili swala.Na swala la kubadili mitahala na mfumo wa kuyapanga matokeo,sidhani kama njia sahihi kwa sababu mambo yanayofundshwa huwa hayabadiliki ila kikubwa kuwa makini na hawa wanafunzi..
PICF 2026 Kuiweka Dar kwenye ramani ya Vichekesho Duniani
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*Jiji la Dar es Salaam linatarajia kuandika historia mpya katika tasnia ya
burudani baada ya kutangazwa kwa uzinduzi w...
8 hours ago







0 comments:
Post a Comment