Watanzania kwa ujumla tunatakiwa tuingilie kati kuhusu hili swala la ELIMU .kwa njia yoyote ile ili kwamba TUIKOMBOE ELIMU yetu.LA sivyo serikali peke yao haiwezi kushughulika na hili swala.Na swala la kubadili mitahala na mfumo wa kuyapanga matokeo,sidhani kama njia sahihi kwa sababu mambo yanayofundshwa huwa hayabadiliki ila kikubwa kuwa makini na hawa wanafunzi..
USHINDANI WA YANGA NA SIMBA HAUPO CCM ,JIEPUSHENI NA MAKUNDI NDANI YA
CHAMA– DKT. TULIA
-
Mwamvua Mwinyi, Kibaha Aprili 25, 2025
SPIKA wa Bunge na Rais wa 31 wa Muungano wa Mabunge Duniani IPU ,Dkt. Tulia
Ackson, amewataka wanachama wa Chama Ch...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment